Je, Ubinadamu Uanahitaji Ufunuo (Dini)?

Ndiyo, binadamu wanahitaji ufunuo. Ufunuo unatufundisha kuwa Mungu yupo, Yeye ni Mmoja, na unatufundisha jinsi ya kuishi maisha yenye maana.

 Kama vile kila kifaa kina mwongozo wa matumizi, nasi tunahitaji mwongozo—mwongozo wa kimungu kwa maisha.